Utaratibu wa Malipo ya Ada
Ada ya shule inalipwa kwa wamu nne, ingawa mzazi au mlezi anaweza kulipa mara moja au mbili kwa mwaka (mara moja kwa muhula). Jumla ya Ada yote kwa mwaka wa masomo ni TZS 1,700,000 (inayojumuisha TZS 800,000 ada ya shule na TZS 900,000 ada ya bweni).
Ulipaji wa Ada kwa Mwaka wa Masomo 2021/2022
Kwa mwaka wa masomo 2021/2022 ada italipwa kwa awmu nne kwa utaratibu ulioneshwa katika majedwali hapo chini:
Tarehe ya Malipo |
Kiasi (TZS) |
December 2021 / Januari 2022 |
550,000 |
Machi / Aprili 2021 |
350,000 |
Julai 2021 |
450,000 |
Septemba 2022 |
350,000 |
Total |
1,700,000 |
Kidato cha Kwanza hadi cha Nne
Tarehe ya Malipo |
Kiasi (TZS) |
Julai 2021 |
550,000 |
Septemba 2021 |
350,000 |
Januari 2022 |
450,000 |
Machi / Aprili 2022 |
350,000 |
Total |
1,700,000 |
Kidato cha Tano hadi cha Sita