Habari na Matukio |
Ulipaji wa Ada |
Matokeo ya mitihani ya kitaifa |
Mahali shule ilipo |
Wasiliana nasi |
Picha za Matukio |
Video mbalimbali |
Ubao Mkuu |
Kitabu - Maombi yenye Mafanikio |
Masomo yanayofundishwa Kidato cha Tano na Sita
Shule ya sekondari Jifunzeni inafundisha masomo yafuatayo kwa kidato cha tano hadi cha sita:
TAHASUZI | MASOMO |
HGL | Historia, Jiografia, na Kingereza |
HGK | Historia, Jiografia, na Kiswahili |
HKL | Historia, Kiswahili, na Kingereza |
HGE | Historia, Jiografia and Uchumi |
EGM | Uchumi, Jiografia, na Hisabati za Juu |
PCM | Fizikia, Kemia, na Hisabati za Juu |
PGM | Fizikia, Jiografia, na Hisabati za Juu |
PCB | Fizikia, Kemia, na Biolojia |
CBG | Kemia, Biolojia, na Jiografia |
ECA | Uchumi, Biashara na Uhasibu. |