Kuanzishwa na Mahali Ilipo
Shule ya sekondari Jifunzeni ilianza January 2011. Shule hii ipo umbali wa kilometa mbili (Km 2) kutoka kituo cha daladala Ituha.
Masomo yanayofundishwa
Shule inafundisha masomo yafuatayo kwa kidato cha kwanza ha nne:
iv.
Elimu ya viumbe (Biolojia)
Aina za Wanafunzi
Wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne ni wale wanasajiliwa kidato cha kwanza na / au wale wanaohamia kutoka shule zingine kwa baadhi ya madarasa, kulingana hali halisi ya mwaka husika.
Kidato cha Kwanza hadi cha Nne